AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ray C amesema zile picha ni zake private ambazo alizihifadhi kwenye simu yake, lakini kwa bahati mbaya simu yake imepotea na aliyeiba simu ndio aliamua kuanza kupost picha alizokuta kwenye simu ya Ray C.
Ray C amesema alituma email kwa wamiliki wa Instagram ili waifungie account hiyo, lakini anaomba radhi kwa kilichotokea kwa sababu sio yeye aliyepost picha hizo.
“Niombe tu msamaha maana sijui hata naanzaje kuelezea… naomba tu waelewe kwamba simu nimeibiwa na mtu ambaye amefanya hivyo namjua na nimeripoti Polisi.. naomba tu msamaha“- hii ni sehemu ya maneno ya Ray C alipokuwa kwenye U Heard na Soudy Brown leo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Teja hili
ReplyDeleteNashangaaaaaaaaaa rais mzima kikwete kumsaidia teja hili
ReplyDeleteWakati muhimbili, shule za dar jiji hazina wadawati
Na kutamba ana majina ya wauza unga mpk kaondoka hajataja
Shemmmmmmmmm you kikwete