AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa chanzo makini, Aunt hakuhudhuria kwenye sherehe ya kuzaliwa ya Wema, iliyofanyika mwishoni wa wiki iliyopita kwa sababu shosti wake huyo wa zamani hajawahi kwenda kumuona mwanaye tangu azaliwe.
“Aunt hakuweza kwenda kwa sababu bado anachukizwa na kitendo cha Wema kutokwenda kumuona mtoto wake tangu amezaliwa kwa sababu hicho ndiyo kilikuwa kitu muhimu maishani mwake hivyo hata yeye hawezi kwenda kwenye ishu yake yoyote (Wema) ya furaha labda kutokee tatizo la kifo,” kilisema chanzo hicho.
Alipotafutwa Aunt na kuulizwa kama kweli ndiyo wamefikia hatu hiyo na Wema, alikiri kufikia hatua ya kutamka kauli hiyo kwani anashindwa kumuelewa shosti wake huyo ana kitu gani moyoni ambacho kimemfanya ashindwe kumtembelea tangu ajifungue.
“Nashindwa kumuelewa Wema sijui kuna kitu gani kikubwa kinachomfanya ashindwe kumuona mwanangu na sisi tulikuwa marafiki. Siwezi kwenda katika sherehe yake katika hali kama hii tuliyonayo labda kwa ishu ya msiba, nitaennda,” alisema Aunt.Kwa upande wake Wema alipoulizwa kuhusiana na suala hilo, hakuwa tayari kuzungumzia lolote.
Chanzo: GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tatizo wema anataka kunyenyekewa Sana na marafiki zake, kwa kweli hajafanya vizuri, rafiki mzuri akujali kwenye shida na raha.
ReplyDeleteNDO MAANA ULIKUWA UNAFICHA MTOTO ULITAKA MPAKA WEMA AJE ? HAJI SASA . MWACHE NA MAMBO YAKE NA WE ENDELEA NAYAKO . WEWE JIULIZE MIMBA KAILEA WEEEE NINI MTOTO .
ReplyDeletenyie ndio wachawi zaa wako au kizazi umeshamalizia vyooni
Deleteamwambie Kajala akamuone si ndo rafiki yake? Wema kaamua kujiweka mbali kupisha msongamano.
ReplyDeleteSasa alimualika wenye bday yake ili iweje, acha ushakunaku WEMA anependa apapatikiwe wakati hana chochote.
Deletehuyu Aunt kama Domo, wasanamfanyia visa Wema akikaa kimya wanaanza lawama.
ReplyDeletetashtiti zoote na kusema umemtunza laki 5 Zari, leo unamlaumu aje kumuona mwanao? huna haya Aunt.
ReplyDeleteha ha ha ha mpunguzage kujiuza, wanaume bado mnawapenda lakini mnaendekeza kundinywa hovyo na mibaba.
Deleteawaambie vizee wenzie Kajala na Zari wakamuone cookie.
ReplyDeleteMzee mama yako, vuzi la chuma ililiona?
DeleteHahah Wema njoo KOKO atoke. Twataka ona nyago la bebi KOKO. Oops Kuki.
ReplyDeleteAunt alifikiri ataalikwa kwenye part wa Wema, kaona jiiii kaanza na lawama.
ReplyDeleteKWANI ULISHIKA MIMBA KWA AJILI YA WEMA? MPELEKE KWA KAJALA MNAFIKI MWENZIO.
ReplyDeletemakahaba mishipa imewatoka kulilia penzi la X, ndio keshazaliwa baby girl he he he e he he he he mnalooooooo
DeleteAtaendaje kuona mtoto bibi bomba na yy ndo vile limebuma.......utashindwa hata kuadapt mtoto kwa roho mbaya unazoonyesha we bibi
ReplyDeleteHapa Wema anaonewa. Ulijifungua mkiwa Na biff. Mmepatana za kijuujuu mara kampein zinaanza.
ReplyDeleteOK yy kakosea hajaja Na wewe vip mbona hukwenda? Acheni mtoto wa watu aishi apendavyo mnajikomba wenyewe acha akukomeshe
Na hapa unstafuta Kiki tu umeona ya gari haijahit unatafuta Kiki nyingine mtatembelea sana Nyota ya sepetunga ll