AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wizkid |
Wizkid alioneshwa kushangazwa na shangwe za mashabiki hao, hali iliyofanya afanye show kwa muda mrefu zaidi. Alisema hakuwahi kukutana na mashabibi wenye upendo kuwazidi Watanzania.
“Ilikuwa niondoke lakini sitaondaka na kesho natafuta sehemu nikutane tena na nyie, tufanye concept ya bure,” alisema Wizkid.
“Nimefurahi sana kuona hali hii. Tanzania mna upendo wa kweli. Tuendelee kuwa pamoja nami kwenye Twitter na Instagram ili tujue tunakutana katika ukumbi gani,” alisema.
Hata hivyo Jumapili hii Wizkid alitangaza kuwa ameshindwa kupata kibali cha kufanya show ya bure lakini amedai atarajea December kwenye Fiesta.
“Last night in Dar es Salaam, Tanzania!! Had to jump on the speakers to be close to my people! Love u all. Unfortunately, we couldn’t get the permit to do the free concert today but I’m coming back in December! Fiesta moves!!!!! Yaaaaa,” ameandika kwenye Instagram.
Pia aliipongeza Tanzania kumaliza uchaguzi salama.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK