AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Masanja Mkandamizaji |
Ameyasema hayo alipokuja kuchukua fomu ya kugombea kupata ridhaa ya Chama cha Mapinduzi,jumla ya watu tisa akiwemo mdogo wa marehemu Fillipo Filikunjombe ambaye ni mwanasheria wa TCRA wamechukua fomu ili kuweza kuomba ridhaa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Jitizame wewe unafikiri bungeni ni kuigiza watu
ReplyDeleteanaongeza umaharufu kwamba na yeye aliwahi kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge.
ReplyDeleteHakuna kupeana nafasi kifamilia. CCM acheni hayo apewe anayefaa, Wee Masanja sasa nani atakuchukulia serious wakati hata mahubiri unayatoa kiutani? kweli bunge la tz limekosa hadhi ni comedy tu.,
ReplyDeletehuyu ana njaa ya pesa tu, hii nchi ni shamba la bibi aisee, kila anayetaka pesa za haraka haraka anakimbilia kwenye siasa!!
ReplyDeleteunaijua njombe na watu wake vizuri masanja?hawa watu wa njombe ni waelewa sana.najaribu kukuangalia masanja mgaya naona kama unaota vile,njozi njema.
ReplyDeleteNa bado ulichelewa wapi kama hutapata aibu ile iliyompata Yahaya (Davis Mosha(
ReplyDelete