Masanja Mkandamizaji Achukua Form za Kugombea Ubunge Ludewa na Ktangaza nia Kuchukua Nafasi ya Marehemu Filikunjombe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Masanja Mkandamizaji
MSANII maarufu na mwigizaji Emmanuel Mgaya maarufu kwa jina la (Masanja mkandamizaji) ameahidi kuvaa viatu vya Deo H. Filikunjombe kwa kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo la Ludewa na kusema ana uwezo mkubwa na kasi kama ya marehemu Filikunjombe ambaye alikuwa rafiki yake.

Ameyasema hayo alipokuja kuchukua fomu ya kugombea kupata ridhaa ya Chama cha Mapinduzi,jumla ya watu tisa akiwemo mdogo wa marehemu Fillipo Filikunjombe ambaye ni mwanasheria wa TCRA wamechukua fomu ili kuweza kuomba ridhaa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Jitizame wewe unafikiri bungeni ni kuigiza watu

    ReplyDelete
  2. anaongeza umaharufu kwamba na yeye aliwahi kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge.

    ReplyDelete
  3. Hakuna kupeana nafasi kifamilia. CCM acheni hayo apewe anayefaa, Wee Masanja sasa nani atakuchukulia serious wakati hata mahubiri unayatoa kiutani? kweli bunge la tz limekosa hadhi ni comedy tu.,

    ReplyDelete
  4. huyu ana njaa ya pesa tu, hii nchi ni shamba la bibi aisee, kila anayetaka pesa za haraka haraka anakimbilia kwenye siasa!!

    ReplyDelete
  5. unaijua njombe na watu wake vizuri masanja?hawa watu wa njombe ni waelewa sana.najaribu kukuangalia masanja mgaya naona kama unaota vile,njozi njema.

    ReplyDelete
  6. Na bado ulichelewa wapi kama hutapata aibu ile iliyompata Yahaya (Davis Mosha(

    ReplyDelete

Top Post Ad