AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika mkutano wao na waandishi leo, wamesema kuwa hawatakubali Katiba ivunjwe kwa kumruhusu Dk Shein kuingia bungeni wakati muda wake wa kushika madaraka ulishapita.
Katika hatua nyingine, Umoja huo umesema wabunge wa kambi ya upinzani bungeni wamekubaliana kuchanga kila mmoja Sh 300,000 kwa ajili ya kuchangia familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo.
Uamuzi huo umetangazwa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe kwenye mkutano wa waandishi wa habari bungeni baada ya kikao cha wabunge wote wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Pia wamekubaliana Jumamosi ya Novemba 21, wataenda wabunge wote kuungana na viongozi wengine wa kitaifa kumzika marehemu Mawazo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
KUSUSIA VIKAO NA KUPINGA KILA KITU, hiyo hasa ndio kazi ya upinzani hapa Tanzania, na ndio kazi ilowapeleka hapo bungeni, na ndio sababu mkachaguliwa, nyinyi ni KUPINGA, KUPINGA ......hahahaha HAPA KAZI TU
ReplyDeletePINGENI NA HIZO POSHO PIA NA JINSI MNAVYOKOKOTOA BAADA YA BUNGE.MIAKA 5 MILLION MIA 230,WENGINE NAWASIKIA WAKO BUNGENI TANGU NAZALIWA,MIE
ReplyDeleteBABANGU MIAKA 39 KAZINI LAKINI KASTAAFU HATA MILLION 50 HAZIFAFIKA.