AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gazeti hili ambalo pia lilikuwepo kwenye viwanja hivyo vilivyosheheni mastaa wa fani mbalimbali, liliwaona wawili hao ambao awali walikuwa marafiki wakubwa, wakijivinjari kwa tahadhari ili wasikutane, licha ya nyakati tofauti kuzungumza na mastaa wengine.
Wema ambaye katika kampeni za CCM alikuwa pamoja na Makamu wa Rais, aliyekuwa mgombea mwenza Samia Hassan Suluhu, wakiwa na kundi lao maarufu la Mama Ongea na Mwanao, muda mwingi alionekana akiwa na wenzake aliokuwa nao ‘timu moja’ kwenye kampeni.
Aunt Ezekiel ambaye wakati wa kampeni hizo alikuwa kundi lililopewa jina la Nimestuka, naye alijichanganya na waalikwa wengine lakini jicho lake likiwa makini kuhakikisha hakutani hata sehemu moja na muigizaji huyo wa Filamu ya Madam.
Katika sherehe hiyo pia walikuwepo viongozi mbalimbali wa kitaifa wa serikali iliyopita, akiwemo Waziri Mkuu Mizengo Pinda na mkewe, mama Salma Kikwete na waziri mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga na mkewe.
Mastaa wengine waliojumuika katika hafla hiyo iliyochagizwa na muziki kutoka kwa Yamoto Band ni pamoja na mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi, Ally Choki, muigizaji mkongwe, Bi Mwenda, mlezi wa wasanii Mama Loraa na Emmanuel Mbasha.
GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
tunataka sikia habari za rais mpya Magufuli anafanya nini, cyo hawa akina dada, habri zao hazina maana yoyote.
ReplyDeleteNdio udaku banaaa hawana mpya kila siku wema, zari, nasibu na anty
ReplyDelete