AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond Platnumz vs Rommy Jones |
Chanzo cha bifu hilo japo wenyewe hawataki kuweka wazi inasemekana ni kitendo cha Diamond kumwambia Rommy aweke utaratibu wa kujitegemea yeye mwenyewe alafu yeye atamsapoti. Inasemekana Rommy hakufurahi kaona kama kadhalilishwa, kumbukeni Rommy hajui ata bei ya viatu kila kitu anawezeshwa na Diamond.
Wengine wanasema chanzo ni Zari inasemekana Rommy ambae ni swaiba wake na Wema alikuwa anajaribu kumshawishi kwa muda mrefu Diamond arudishe mapenzi kwa Wema huku akisaidiwa na Aunt. Hii ilimuuzi sana Diamond maana Diamond kwa sasa jicho lake lote lipo kwa mwanae Tiffa na mpenzi wake Zari sasa kuona mtu wake wa karibu anamshawishi kuvuruga furaha yake ikaleta doa kwenye uswahiba wao.
Kingine ni ishu ya Wasafi records label mpya ya Diamond ambayo kawekeza pesa ndefu lakini kampa usimamizi ndugu yake mwingine anaitwa Ricardo kuisimamia upande wa wasanii na studio na upande wa photo point kampa kifesi ambaye amemnunulia vifaa vya kisasa toka South Africa. Rommy anaona kama kawekwa kando kwenye ufalme wa Wasafi. Mama Diamond nae analaumiwa sababu ameegemea upande wa mwanae.
Mimi nawashauri awa watu wamalize tofauti zao wakae chini waelewane Rommy ajaribu kumwelewa Diamond kwa sasa ni baba hivyo kuna vitu lazima vibadilike akilini mwake hawezi tena kuwa yule Diamond aliokuwa anasikiliza ushauri wako na Halima na Petii.
Pia Dangote ajitahidi kumwelewa cousin wake ni mtu wa aina gani hawezi kubadilika fasta kama unavyotaka Rommy starehe ujiko na show off ndio imekuwa maisha yake tangia utoto awezi kufikiria kama wewe unaewaza future ya mwanao na mama na dada zako.
Copyright Jamiiforums
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
yamalizeni jamani hizo ni issue ndogo sana....hata glass kwenye kabati moja lazima zigongane mnafaa muelewe hilo....ila big up sana bro mondi
ReplyDelete