AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kushoto ni aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Kahama Mjini James Lembeli (Chadema) akiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga Juma Protas wakitoka katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga leo asubuhi baada ya kushinda maombi yao ya kuomba kupunguziwa gharama za kesi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi uliompa ushindi Mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini,Jumanne Kishimba ambapo Lembeli alipaswa kulipa shilingi milioni 15 na badala yake Mahakama imemtaka kulipa Shilingi milioni 9 ndipo kesi ya msingi ianze kusikilizwa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HUKO KUPETA MBONA SIJAKUONA
ReplyDeleteHAKUNA MWANASIASA ANAEKUBALI KUSHINDWA KIRAHISI KWENYE UCHAGUZI KUITWA MHESHIMIWA NI KAMA KILEMA NDIO MAANA HATA MTU KAMA LEMBELI ALIESHINDWA KIHALALI BADO ANAKOMAA KUTEST SO TO HELL ACHA WANANCHI WATUMIKIWE NA MTU WALIEMCHAGUA.TENA KOTA WEWE KAMA SIO LAFA
ReplyDelete