Kanye West Ametumia zaidi ya Milioni 130 Kuuzuia Mkanda wa ‘Ngono’ Kusambaa, Mkanda Huo Umemuhusisha Nani?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Star  wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, ameamua kutoa kiasi cha dola milioni 130, kwa ajili ya kuzuia mkanda wa ngono wenye picha zinazofanana na mke wake usiingie sokoni.

Kwa mujibu wa mtandao  wa US,  msanii huyo aliamua kafanya hivyo kwa kuwa ndani ya filamu hiyo kuna mrembo anafanana na mke wakewe Kim Kardashian.

Nimeona bora nifanye hivyo kwa kupunguza maneno ambayo yangejitokeza, ni filamu ambayo ina mambo mengi ndani yake, lakini inaweza kuharibu mwonekano wa familia yetu japokuwa hakuna mhusika ndani yetu,” alisema Kanye.

Nafasi za Kazi Kutoka Magazetini leo

Bonyeza www.ajirayako.com
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad