KIMENUKA Tena...Wafanya Kazi wa Kiwanda cha Urafiki Wagoma Tena..Wawafungia Uongozi wa Kiwanda Hicho Ndani, Mabomu Yarindima

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wafanyakazi Kiwanda cha Nguo Urafiki
Jeshi la Polisi  Dar es Salaam  leo limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafanyakazi wa kiwanda cha nguo cha Urafiki ambao walifanya mgomo na kuufungia uongozi wa kiwanda hicho  ndani kwa madai ya kutolipwa ongezeko la mishahara yao kwa muda mrefu.

Kutokana na Sekeseke hilo,Mkuu wa wilaya ya Kinondoni ,Paul Makonda ameamuru kiwanda hicho kifungwe kwa muda ili kusaka suluhu


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad