AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kama hiyo haitoshi,ukaunguruma Bungeni ukiahidi kutumbua majipu ya ufisadi kwa wale waliofaidi zaidi. Ukajielekeza TRA na Bandari. Pakatokea yaliyotokea. Baada ya hapo,ukimya umetawala.
Ukimya wako umetanguliwa na kikao cha Kamati Kuu ya CCM. Kulikoni? Au TeamLowassa imekwisha kule TRA na Bandarini na haipo kwingineko? Nauliza tu kiutaniutani!
By Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Arusha)
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nguvu ya soda hiyo
ReplyDeleteChezea kamati kuu ya CCM
Ashambiwa asitumbuwe majipu
Aanze na kuponya vidonda
acha umbulula wako subili mwanamme afanye kazi
DeleteUlikuwepo kwenye hiyo kamati kuu au MTABIRI??
DeleteNilikuwepo team Lowassa iko kila kona
DeleteHawajakukamata? We subiri, watakutia mkononi ndio utajua kama ni mkwara ama nene!
ReplyDeleteMiye nikamatwe kwani la magufuli allitoa Nani na Mimi ni Nani
DeleteUslite hapa
Kila Leo ntaruka kwenda ninakokutaka mtakamatwa nyie pumba na vijidaaaaaaaaa
Msoga na my team ngooooooooooo
Watu waache maneno ya kipuuzi, sasa kisa ameanza kufanya kazi kwa kasi mnataka kila siku iwe hivyo ama hamna vya kupost website mpaka muone tu matukio?
ReplyDeleteUraisi wake si miaka mitano ama?
KWa hiyo kazi zote za miaka mitano azifanye ndani ya miezi miwili ama?
Kikwete alikuwa ancheka tu, mwacheni Raisi wetu anajitambua, kwani aliyemuambia aanze kufatilia wakwepa kodi ni magazeti ama?
Ukiona kobe kainama ujuwe anatunga sheria au anatungiwa. .Ama hicho kikao cha CCM wamempa warning. .Kasi yake imekuwa hatari isije akatumbua majipu sugu Yaani (DONDA ndugu)..Hata mie hiyo nimeistukia..Tangu alivyorudisha mawaziri wa zamani alinivunja moyo ,nikajuwa huyu sio tena MagufulI aliye simama kama Magufuli..,mamlaka sasa yaanza kutoa mamlaka kwa wenye mamlaka. (Itakuwa rais jina tu si wakutoa mamlaka...wapo baadhi ya watu wameishikiria Tanzania mpaka kufa kwao..Rais Zidi kumuongoa Mungu wako usirubuniwe na waroho wa jasho la watanzania. .
ReplyDeleteSUBIRINI TU MOTO UTAWAKA HIVI KARIBUNI MAGUFULI SIO MCHEZO HAPA KAZI TU
ReplyDeleteLakini Magufuli bomba
ReplyDeleteNa kama unafikiri majipu yamekwisha acha kulipa kodi uone kama mkojo wako haukutokea matakoni, mbwa mkubwa wewe......
ReplyDeleteHuna adabu mitusi itakusaidia nini kwani magufuli mumeo
DeleteMume wa mama ako na baba ako
DeleteWatanzania tunatisha, nadhani ni mapema mno kuona raising hatumbui majipu, tumpe nafasi na kumsupport.
DeleteTUMEKWISHA IONA.HII NDIYO STAILI YA UTAWALA[KIASHIRIA YA MHESHIMIWA MAGUFULI]AMEWARUDISHA MAWAZIRI WA KIKWETE 13.NI UAMUZI WAKE,SISI TUMESHUHUDIA.WALIOHARIBU VIBAYA KAWARUDISHA,TUSEME NINI?HATUONI DALILI AU MWELEKEO ILIYEPO KANDILI.TUSUBIRI.WANANCHI TULISHAWISHIKA NA KUMPIGIA KURA KUTOKANA NA AHADI ZAKE YEYE NA MGOMBEA MWENZA.NI NYINGI MNO,NYINGI SANA.TULIAHIDIWA CHA KWANZA KUSHUSHWA SANA BEI YA VIFAA VYA UJENZI YAANI CEMENT,MABATI,NONDO,MBAO,MISUMARI,VIGAE NK.[ORODHA YAKE YAPATA ITEMS 56]AMBAZO TUZIITE ESSENTIALS.TUNAANGALIA NA KUSUBIRI KWA HAMU.
ReplyDelete