AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa Kwa Umma Toka Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Nafasi za Ajira
Bonyeza www.ajirayako.com
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Maskini ndiye atakae asirika na zoezi hili.Mfano mm niliuziwa kiwanja akijapimwa na nikafuatilia aridh hili wanipimie matokeo yake walipima ramani nakuniambia nitoe kiasi cha hela nikatoa,Cha kushsngaza ni mwaka wa kumi sasa karibu wa nane wananizungusha mpaka muhusika wengine wamestaafu,hela walichukuwa shamba alikupimwa so nikaona ni isumbufu nikaamua kujenga so mnapo tubomolea nyumba kwa watu wa aridh wana usika sana na unyanyasaji hilo mmelifumbia macho.Mnakimbilia kutubomolea nyumba mtu kajenga kwa gharama nasema aridhi wanausika na hili eatu kujenga olela.
ReplyDeleteTatizo lipo hadi CCM
ReplyDeleteKiwanja cha uhuru Shinyanga mjini kilikuwa wazi tangu uhuru CCM wakakipora wakajenga makao makuu yake ya mkoa na majengo mengine sisi wazaliwa wa Shinyanga mjini tunajuwa fika licha ya kupora ukumbi starehe ulikuwa Unamilikiwa kampuni ya almasi mwadui
CCM nanyi rudisheni maneno yote wazi umliyojimilikisha
Vinginevyo ni uongo kuwanyanganya watu mliopa kwenye serikali zenu
Wanashinyanga tunataka uwanja wetu wa uhuru Upo katikati ya mji wa Shinyanga