AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wahamiaji Haramu Wakiwa chini ya Ulinzi |
Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Iringa Peter Kakamba amesema kuwa tayari ametuma usafiri kwenda kuwabeba Raia hao ambao wanadai walishushwa katika gari hilo aina ya Hiace ili kuvuka eneo la ukaguzi wa Magari ( check pointi) kijiji cha Igumbilo nje kidogo ya mji wa Iringa.
Wakati huo huo Kampuni ya Mwananchi Communication Limited (MCL) imetoa ufafanuzi kuhusiana na kuhusishwa na kadhia hiyo. Soma zaidi:
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mwananchi ni toka Kenya na hao abiria toka nje ya TZ,hatari!
ReplyDelete