AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ilielezwa awali kuwa kulikuwa na ugomvi ambao kulipelekea Dr. huyo kufukuzwa kazi kati yake na mkuu huyo wa mkoa. Vyanzo vyangu vimefanikiwa kudodosa kwa Mulongo kuwa Dr. Faisal ni nani hasa ambapo Mulongo amefunguka bayana kuwa Dr. Faisal ni raia kutoka Somalia anayeishi Tanzania kwa uraia unaotia shaka!
Ndugu Mulongo anakiri kuwa walitofautiana ndani ya kikao cha kamati ya ulinzi na usalama cha mkoa ndipo akaamua kumporomoshea Dr. huyo lugha za ubaguzi kuhusu uraia wake. Aidha uchunguzi wa kina unabaini kuwa viongozi hao wawili walikuwa na ugomvi wa muda mrefu kiutendaji kutokana na ndugu Mulongo kumtuhumu Dr. Faisal kuwa ni mfuasi wa Edward Lowassa na alifanya naye kikao cha pamoja mwezi wa sita mwaka jana!
Maneno ya kibaguzi kwa ndugu Mulongo yanakuja siku chache sana baada ya ujumbe wa kibaguzi kutolewa kutoka kwa wana UVCCM Zanzibar waliotoa ujumbe "CHOTARA HIZBU, ZANZIBAR NI YA WAAFRIKA" ambapo ujumbe huo ulitafsiriwa kama ubaguzi kwa Wapemba wenye asili ya kiarabu waishio visiwani humo.
Source;Jamii Forums
Udaku Special Blog
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kaaia wake unatia wasiwasihakuna haja ya kuendelea kushikiria nafasi nyeti kama hiyo. Ndiyo maana wengi wana wasiwasi na mtazamo wa Lowasa kuhusu taifa hili. Hata huku TRA ndiyo waliokuwa wanampa jeuri kwenye kampeni zake kwani hata uteuzi wao alikuwa mshirika mkubwa wa kuweka watu wasi watanzania kushika nafasi za nchi yetu, Huyu mtu CHADEMA na UKAWA kuwa macho na mtu huyu ni hatari na anaweza kukumbwa na uhaini ikawa kashfa ya aibu. Kuna makundi ya kihalifu yanaanza kujitokeza chanzo ni yeye ila awe macho kwani ameishajulikana move zake.ALUTA CONTINUA.
ReplyDeleteNdio maana uhalifu unazidi kuwa sugu.
DeleteHawa UKAWA ni kuwaogopa kama ukoma,tukumbuke kuna mtu aliyekuwa mshirika mkuu wa Lowasa BASHIR AWALE nae alikuwa na uraia wenye utata.MUNGU IBARIKI TZ.
Hakunalolote hiyo magesa sio mkweli haiwezekani mtu sio raiwa ateuliwe kuwa katibu tawala ninuongo huwa wanabeef kwanza kilichotokea paka kumwambia yy ni msomali ni nini kuna jipu kubwa hapo magesa hataki kusema
Delete