Penzi la Aslay wa Yamoto Band na Mrembo Video Qeen Laingia Shubiri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa kundi la Yamoto Band, Aslay Isihaka ametangaza kuwa yupo single.

Kabla ya hapo, Aslay aliwahi kuweka hadharani uhusiano wake na video model aitwaye Tessy Chocolate.

Hata hivyo siku za hivi karibuni muimbaji huyo aliacha kupost picha za mrembo huyo kwenye mtandao wa Instagram kiasi cha watu kuanza kuhisi kuwa mambo yameharibika.

Wiki hii aliiambia E-Newz ya East Africa Television kuwa kwa sasa hana mahusiano na binti yoyote.

Alisema kuhusiana na kinachoendelea katika upande wa mahusiano yake, hawezi kukizungumzia kwa sasa mpaka atakapoamua kuweka wazi nini kilitokea. Pia Aslay alishindwa kuzungumzia uvumi uliopo kuwa amemuacha msichana huyo baada ya kupata ujauzito.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad