AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ ndiye aliyeiweka picha hiikwenye ukurasa wake mtandaoni humo na kuandika “Simply adorable
Picha ambayo baadhi ya mashabiki walionyeshwa kutopendezewa nayo kwa madai kuwa kiss hilo limevuka mipaka na haipendezi kuwekwa mtandaoni huku wengine wakionekana kuona ipo sawa na inaonyesha ni kwajinsi gani Diamond anavyompenda motto wake Tiffah ‘Dangote’.
Wewe unaionaje hii?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Siyo sawa kumbusu mtoto mdomoni,hasa kwa busu kama hili la kutanua mdomo kabisa.Hivi kesho ama kesho kutwa mtoto akizoea kubusiwa hivyo si ataona ni kawaida kubusiwa mdomoni?na ataruhusu watu wote wambusu.Mimi Siko timu yoyote,kati ya Zari na Wema kwakuwa wote ni wazinifu na mawakala wa shetani kwakuwa wanafanya mengi yasiyokuwa na maana wala maadili na watu wanashangilia tu.and they keep doing it.So in short sina timu yoyote.Ila hapa nasema ukweli,mila zingine tuwaachie wenzetu.
ReplyDeleteUzungu tena
ReplyDeleteKiafya haikubaliki.
ReplyDeletehuu ni ujinga huyu motto atakuja kubusiwa na watu hata wengi maradhi maana ameshazoea kufantiwa hivyo nyie team ya huyu bwana mfundisheni
ReplyDeleteTUSIPENDE KUIGA KILA KITU, MENGINE HAYAFAI, TUWA-ACHIE WADHUNGU WENYEWE
ReplyDeleteKiafya haijakaa sawa watu wenyewe hawajatulia
ReplyDeletebigi no kama ni sawa basi amtemee mate kabisa mdomoni mwake
ReplyDeletemi nilisikia huyo mtoto akikuwa atakuwa rais. labda ndo wameanza kumfundisha uraisi wa kunyonya mbo
ReplyDeletemamaaaa kamfunika mdomo mzimaaaa hahahaaaaaa
ReplyDeletemtoto mwenyewe wa kupakaziwa tu
ReplyDelete