Shilole: Msisikilize uzushi, kama nikipata mpenzi mpya nitasema mwenyewe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shilole a.k.a Shishi Baby amesema baada ya kuachana na Nuh Mziwanda bado jimbo la moyo wake halijapata mgombea mpya wa kuziba nafasi yake.

Zimekuwepo tetesi kuwa Shishi anatoka na msanii mwingine wa Bongo fleva, Nyauloso zamani Bonge la nyau, huku wengine wakisema kuwa ana uhusiano na msanii wa Uganda, Eddy Kenzo.

Mimi sijapata mpenzi mpya mimi nipo tu, mpenzi mpya nitasema mwenyewe kwa mdomo wangu mimi,” Shishi ameeleza kupitia 255 ya XXL. “ nifanye interview niseme jamani sasa nina mpenzi mpya, lakini saizi msisikie rumors zinazotokea subirini mimi niwahakikishie.” Alisema Shishi.

Kuhusu Eddy Kenzo Shishi amedai kuwa ni kama kaka yake lakini wanawasiliana sana, na kuongeza kama endapo urafiki wao utazaa penzi basi atatangaza rasmi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad