AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni viongozi ambao walitambua kwamba kua njia pekee ya kuendesha mambo vizuri ni mawasiliano mazuri ama maridhiano katika pande mbili zinazokinzana! Ni viongozi waliojua kua utatuzi pekee wa migogoro ndani ya bunge ni majadiliano inapotokea kutokuelewana baina ya pande mbili kinzani, ni viongozi waliosoma vizuri mwenendo wa bunge na mazingira yaliyokuepo na wakati wake pia badala ya kutumia ubabe.
Ndio kuna mahali walijaribu kutumia ubabe lakini ni pale ambapo mambo yalionekana kua magumu sana kufikia kukosa maamuzi mengine zaidi ya kutumia nguvu kiasi.Ukiwa kiongozi bila kuangalia na kuwasoma surbodinates wako, bila kusoma wakati, bila kusoma mazingira uliopo kwa hakika uongozi utakushinda! Utatumia sana ubabe lakini lakini itafika mahali utashindwa na dhamira yako itakusuta kufikia kuikimbia nafasi yako ya uongozi.
Ni washauri tu ndugu zangu Chenge, Ndungai pamoja na Dkt Tulia kwamba bado ni mapema sana kwao watumie muda huu kujirekebisha mapema wasianze vibaya! Watumje zaidi njia ya majadiliano kila inapotokea kutoelewana baina ya pande kinzani ndani ya bunge, watumishi kamati za bunge kurekebisha mambo mfano kà mati ya uongozi na kamati ya maadili. Inapotokea serikali inakosolewa wachukulie kua ndio kazi ya bunge kufanya hivyo kuliko kutanguliza ukada zaidi, unapokua kiongozi wa pinde mbili kinzani lazima uwe neutral bila kupendelea upande wowote.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
nimeipenda
ReplyDeletenimependa maoni yako!
ReplyDeleteTulia tulia fyuuuu
ReplyDeletePhD fake hiii