Diva Loveness Adai Ujumbe wa Kutafuta Mwanaume Aliouandika Kwenye Page yake Alimaanisha..."Hamna Hacker wala Hucker , Hellow It's Me"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Leo Mchana Diva Loveness wa Clouds aliacha mashabiki wake kwenye sintofahamu baada ya kupost picha akiwa nusu utupu na kusema kuwa anatafuta mwanaume baada ya kukaa muda mrefu single.....baadhi ya mashabiki wake waliingiwa na woga wakidhani account yake imekuwa hacked lakini jioni hii Diva amewahakikishia hakuna cha hacker wala nini....

Divathebawse :
Hamner Hacker wala Hucker , Hellow It's Me ... Diva Ndio Naandika ... Cha ajabu nini? Simu yangu Ninayo Mkonon nimelala kitandani , So this is Me...Siku Hazilingan, kila mtu atafsiri atakavyo , i don care , This is Just life , we live , we gon die anyways .. tunakuwa dissapointed .. sometimes , Yaan mie mwenyewe ndio nafanya hivi and sitak kiki wala nini kick ninazo kibao .... Mpaka zanishinda ati, naandika kwa akili yangu yanatoka Moyoni Mwangu , wala sio ya kushikiwa, Nina Maumivu yangu Moyoni Lakini nina akili zangu timamu, this is My life this is My Page , My life My rules , I can do anything i want with My life, ....niacheni" Divathebawse :

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad