AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii mkongwe na mwanzilishi ya style ya TAKEU, Mr Nice amefunguka kwa kusema kuwa bado yupo vizuri kiuchumi tofauti na watu wanavyodhani kwamba amefilisika.
Akizungumza na Bongo5 Alhamisi hii, Mr Nice amesema kwa kuthibitisha hilo amejenga nyumba mpya kubwa nyumbani kwao ndani ya miezi mitatu.
“Watu hawajui kwamba walinipa pesa nyingi sana mpaka leo bado nazitumia, nyie mnaona kama zimeisha hazijaishi, hapa sasa hivi nawazima kidomo domo wale waliosema nimefilisika, sasa hivi najenga nyumba nyingine kijijini kwangu Moshi na ndani ya miezi mitatu nyumba kubwa imekamilika,” alisema Mr Nice.
Aliongeza, “Watu ambao umefilisika watafikiria kujenga sasa hivi?, hamuwaoni wasanii wenye stress za maisha, kwa hiyo hili ni jibu kwa wale waliyokuwa wanaongea sana,”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Endelea kujitekenya baba mwili wako huo.
ReplyDeleteHahahahaaaaaaaaaaa,tunajua pesa umepeta wapi.
ReplyDeleteHaina haja ya matangazo utachezea kabali bro
ReplyDelete