Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea Afunguka Mazito Kuhusu Suala la Uchaguzi Zanzibar..'Nchi yetu itafika Pabaya'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kubenea ameyasema hayo alipokuwa akichangia hoja ya mpango wa maendeleo bungeni kwenye kikao cha 7 bunge la 11, na kusema kuwa suala la Zanzibar lisipochukuliwa hatua makini, litaipeleka nchi pabaya.

“Uchaguzi wa Zanzibar utatuletea matatizo makubwa kitaifa tusipokuwa makini, hakuna namna yoyote katika bunge hili ya kutozungumzia suala la Zanzibar, iwapo matatizo ya Zanzibar yasipotatuliwa kwa makini, mpango huu hautatekelezeka”, alisema Saed Kubenea.
Pia Saed Kubenea amesema watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini na mashirika m
balimbali ya kijamii yanaliona suala hilo, lakini wao kama wabunge hakuna ambaye amethubutu kuliongelea.

“Tunakaa kaa tu humu ndani, wakati maaskofu wanasema Zanzibar kuna tatizo, mashekhe wanaliona tatizo, tukajifanya hakuna matatizo, nchi yetu itafika pabaya na mpango wa maendeleo hautatekelezeka”, alisema Saed Kubenea
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad