AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Johari
Muigizaji huo ambaye ni Mama wa mtoto mmoja, amekiambia kipindi cha Enewz cha East Africa Television Ijumaa hii, kuwa yupo tayari kuingia kwenye mahusiano kama atatokea mtu sahihi.
“Mimi kwa sasa nipo mwenyewe (Single) akitokea kijana mwenye malengo na mwenye dhamira ya kweli nipo tayari kuwa naye,” alisema Johari.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wenye dhamira wapo lakn wanawaogopa bongo mavi...maana hamfugiki...
ReplyDeletenani aoe apo
ReplyDeletepresha nani anataka?
Dooooh. ...sasa hii ni kuwa na uchu wa mahusiano au? Kwani lazima kifanya matangazo? Ndio maana mnaambiwa mnajiuza mitandaoni.
ReplyDeleteJohari Mara pengi nyinyi mastaa munapenda waume wakufanya nae maigizo ili gazeti ziuzike hiyo ni shida sana
ReplyDeleteJohari Mara pengi nyinyi mastaa munapenda waume wakufanya nae maigizo ili gazeti ziuzike hiyo ni shida sana
ReplyDelete