Tazama VIDEO ya Dakika 11 za Vurugu Zilivyotokea Katika Uchaguzi wa Meya Dar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Leo February 27 2016 ilitangazwa kufanyika kwa uchaguzi wa kumpata Meya wa jiji la Dar es salaam ambao ulipangwa kufanyika Karimjee hall Dar lakini wakati watu wakiwa wamekusanyika tayari kwa uchaguzi huu, mzozo ukazuka baada ya kaimu mkurugenzi wa Jiji kutangaza kuahirishwa kwa uchaguzi huu hadi tarehe nyingine itakapotajwa tena.

Imeelezwa kwamba kesi ya msingi iliyofunguliwa February 2016 na watu ambao hawajatajwa ndio imeifanya Mahakama kuzuia uchaguzi huu wa Meya kwa muda.

Yote unaweza kujionea kwenye hii Video hapa chini….
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad