AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
akihojiwa na redio moja mmnoja wa mameneja wa Diamond,Sallam amesema kuwa huwezi kufanya kolabo na msanii kama kanye West kisa umekutana naye tu kwani kuna protokali nyingi zinabidi zifuatwe mpaka kukamilisha hilo na kuongeza kuwa kwa CV ya Diamond nafasi inaweza kupatikana.
“Unajua wenzetu hawafanyi kolabo kwa sababu umekutana naye,lazima utengeneze kuwa wewe ni nani,ukifanya naye kolabo itamsaidia nini yeye,nashukuru kwa upande wetu tuna Cv nyingi kwa hiyo nadhani itatusaidia kwa upande mwingine” alifunguka Sallam.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK