AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni rapa huyo kuomba msaada baada ya kuona ameshindwa kukabiliana na matatizo ya kiafya ambayo yamekuwa yakimkabili.
Kupitia instagram, Babutale amepost video na kuandika:
"Mwana amekubari kukaa Soba ila anasisitiza wana mje kumtembelea kumpa hope na kuleta mapokopoko manjari. Mungu bariki hii safari ya matumaini"
Katika video hiyo Babu Tale alisema wamefika salama Life and Hope Rehabilitation Organization, Huku Kalapina akiomba mungu kumsaidia Chidi Benz.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Here we go,
ReplyDeleteBasi akimaliza safari yake ya matumaini awe kinara wa kufichua na kuharibu utumiaji wa madawa.All the best
YOU CAN MAKE IT CHIDI IF YOU ARE REAL SERIOUS!!! JUST FOLLOW INSTRUCTIONS!!
ReplyDeleteWatu tulimwambia asibwie miunga akatuona wajinga kumbe mjinga ni yeye
ReplyDeletebabu tale ,diamond ni wauza unga,time will tell tusubili tuuu,zari nae unga.
ReplyDelete