AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Ukija ofisini kwangu me nna kuna picha ya blue nimembandika, kuna picha ya Juma Nature, kuna picha ya Ali , kuna picha ya Prof, Jay, kuna picha ya Ray C, kuna picha ya Q chief, TID, AY, wasanii wote wakubwa ambao anajua walianza katika huu muziki, wana mchango katika huu muziki wote me nimewaweka” Diamond Alisema
“Ofisini kwangu tu ukiingia tu reception, ukiingia tu kunasehemu nimeweka picha za wasanii wote , siwezi kuweka wote kwasababu zisingetosha lakini kuna baadhi ya wasanii nimeweka kwasababu najua wanamchango kwenye soko la muziki wa Tanzania.” Diamond alielezea
Diamond pia amesema kuwa yeye ndio huwa anahushishwa na bifu na wasanii wengine lakini yeye hana tatizo na mtu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kweli dogo hana tatizo na mtu,yeye tatizo alilo nalo ni kuwachanganya na kubadilisha totos mara kwa mara,ingawa kwa sasa katulizwa na Zari kisawasawa.
ReplyDeleteBaba anasema Mama hakunywa maji wewe ukazaliwa,mmmh!
ReplyDeleteUSIMTENGE!
BABA ALIMTENGA SASA KAWA TAJIRI NDIO MWANANGU. ANGEKUWA CHOKORAA???ANGEJITOKEZA???
ReplyDeletehalafu namshangaa mzee kutwa kwenye vyombo vya habari kumsema mwanaye!!!
ReplyDelete