AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Ndg., Dkt. Mashinji is a friend, brother and colleague. Hakuwahi kutuokoa mimi na Dkt. Ulimboka, na hakuwahi kuongoza mgomo, sema alishiriki mgomo ulioongozwa na mimi na Dkt. Ulimboka. Kiukweli, ni mwanasiasa mzuri, msemaji, msomi mzuri (tumesoma naye MBA chuo kimoja), sina hakika kama alimaliza masomo ya Ubingwa maana alinyanyaswa na Supervisor wake, akasusa akaamua kujiiunga masomo ya MBA na sina hakika sana kuhusu 'msimamo usiotetereka'. Maana baada ya vitisho vya 2005, aliyumba sana na tulimtenga na ku-aVoiD kumualika vikao vya CC ya mgomo. Hivyo, kama kigeZo kilikuwa ni hii historia, pole kwa CHADEMA." Ameandika Dk Kigwangalla
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
sijui huyo bwana hapo juu anaongea nn?
ReplyDeleteHahaha,mifisiem bhana ina lana
ReplyDeleteKilaza huyu toka lini aliongoza mgomo wa madaktari huyu mnafki tu.....aende zake huko kiongozi wa mgomo wa madaktari ni Dr Ulimboka tu tunamjua na tulikua tunamuona na kubadilishana naye mawazo kwa sisi ambao ni wafanyakazi wa muhumbili.........We mtoto wa mama lamda uliongoza mgomo chumbani kwako na familia yako
ReplyDeleteHa ha ha ha haaaaa uwiiiii.....
Deletemgomo chumbani hahahahaaaaaa
ReplyDeleteEmb fnya kaz bhna uliyotmwa na mh rais achna na hya mambo ya siasa coz yameshapta tngu octber last year,wananch tnataka maendeleo na cyo siasa tna!!!
ReplyDelete