AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza katika kipindi cha Friday Night Live cha East Africa Television Ijumaa hii, Idris alisema pesa yote aliyoshinda imeishia kwenye miradi mbalimbali.
“Pesa yote milioni 500 niliyoipata kwenye Big Brother Africa imeisha!!. Imeisha kwa sababu ya investment, nimeinvest sana,” alisema Idris.
Mwishoni mwa mwaka jana, Idris alitangaza ujio wa vipindi vyake viwili vya TV ambavyo vitarushwa kupitia vituo vya runinga vya Vuzu, Afrika Kusini na BET Africa pia aliwahi kuweka wazi kuwa anamiliki kampuni ya matangazo.
Jiunge na Bongo5.com sasa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Huna akili, umepungwa na madem, uta invest vipi pesa yote? kama si ulimbukeni nini?
ReplyDeleteeasy come, easy GO!
ReplyDelete