Idris Afunguka, Aeleza Kinachoendelea Kuhusu Mahusiano yake na Wema Sepetu..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mshindi wa BBA, Idris Sultan amesema penzi lake mwigizaji Wema Sepetu lipo palepale na mwanadada huyo hana mtu mwingine wa Kikongo kama ilivyodhaniwa hivi karibuni.

Idriss amefunguka yote hayo katika mahojiano na kipindi cha 'Friday Night Live' kinachorushwa na EATV kila siku ya Ijumaa.

Akijibu swali la mtangazaji Sam Misago kuhusu mahusiano yake na Wema Sepetu kwa sasa kwamba inasemekana hawapo sawa Idris amesema
 ''Mimi na Wema Sepetu ni Mwaa bado tupo zizuri kabisa''
Alipoulizwa kama ni kweli anampenda Wema au anatafuta 'kiki' amasema ingekuwa anatafuta umaarufu wa namna hiyo basi angeamka asubuhi na kuandika asubuhi 'kiki day'

Kuhusu watoto ambao alisema walipotea kabla hawajazaliwa Idris amesema awamejifunza kitu kutotoa taarifa kabla ya ujauzito haujafika hata miezi 3 hadi 5.

Aidha kuhusu saa yake aliyoionyesha kwenye mitandao ya kijamii ambayo watu wanadhani ni feki Idriss ametamba kuwa saa yake ni 'original' na alipewa zawadi na mfalme mmoja barani Afrika.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad