AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sallam Sharaf, meneja wa Diamond, sasa ni meneja wa AY pia.
Taarifa hiyo imetangazwa Jumatatu hii na wao wenyewe.
Alianza AY aliyeandika kwenye Instagram:
"Great Team.. My Manager @sallam_sk #Mendez & My Supa Dupa Producer @hermyb Nairobi..Much next…Dar es Salaam #strictlyBusiness.”
Naye Sallam aliandika kwenye Instagram:
"GOODBYE NAIROBI…. Thank You Again…!! And the Good news is @aytanzania he’s under my management. What a Bless to manage THE LEGEND. Don’t Listen to THEY BE INSPIRED.”
Kitu ambacho huenda wengi hawajui ni kwamba Sallam na AY ni washkaji na business partners wa muda mrefu. Wawili hao walikuwa wakifanya biashara pamoja hata kabla ya Sallam kuwa meneja wa Diamond. Huenda sasa wameona ni muhimu kuupeleka ushkaji wao kwenye level nyingine.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK