AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Kris na Kanye walikuwa na mabishano makali,” chanzo kililiambia Touch.
Mgogoro huo ulianza baada ya Kanye kutaka kuharibu dili la binti wa Kris, Kylie na Puma. Kanye alidaiwa kumlaumu Kris kwa kuchukulia kuwa walimsaliti sababu ya uhusiano wake na Adidas.
Kwa mujibu wa RadarOnline, Kim na Kanye wamekuwa wakiishi kwenye nyumba ya mama yao wakati wakiendelea na ukarabati wa nyumba yao.
Inasemekana kuwa baada ya kutimuliwa, Kanye alienda kuishi kwa Jay Z na Beyonce.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK