AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inashangaza sana hii serikali ambayo tunaambiwa imedhamiria kurejesha nidhamu ya watumishi wa umma mpaka sasa haijamsimamisha kazi mtumishi alietumia document isiyostahili(fake) ya Mahakama kuzuia uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar-es-salaam ili nae apishe uchunguzi kama wengine.
Wacha tusubiri lakini nimekumbuka msemo wa Kiswahili usemao: "njia ya muongo ni fupi."
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mfumo wa utawala wa Tz chama tawala kina nguvu kuliko serikali,na siku zote maslahi ya chama yamekuwa mbele kuliko kitu kingine.......sidhani kama kutakuwa na utumbuaji majipu hapo
ReplyDeleteHAYA MAJIPU YANATUMBULIWA KWA WANYONGE AMBAO HAWANA NAFASI YA KUJITETEA.
ReplyDeleteTusubiri pengine bado jipu alijaiva!!
ReplyDeleteccm ni ile ile wanataka sifa kuliko wasanii viongozi wa sasa hv
ReplyDelete