Utumbuaji Majipu:Inashangaza Mpaka Sasa Alietumia Document Fake Kuzuia Uchaguzi wa Meya Dar Hajasimamishwa Kazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Inashangaza sana hii serikali ambayo tunaambiwa imedhamiria kurejesha nidhamu ya watumishi wa umma mpaka sasa haijamsimamisha kazi mtumishi alietumia document isiyostahili(fake) ya Mahakama kuzuia uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar-es-salaam ili nae apishe uchunguzi kama wengine.

Wacha tusubiri lakini nimekumbuka msemo wa Kiswahili usemao: "njia ya muongo ni fupi."
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mfumo wa utawala wa Tz chama tawala kina nguvu kuliko serikali,na siku zote maslahi ya chama yamekuwa mbele kuliko kitu kingine.......sidhani kama kutakuwa na utumbuaji majipu hapo

    ReplyDelete
  2. HAYA MAJIPU YANATUMBULIWA KWA WANYONGE AMBAO HAWANA NAFASI YA KUJITETEA.

    ReplyDelete
  3. Tusubiri pengine bado jipu alijaiva!!

    ReplyDelete
  4. ccm ni ile ile wanataka sifa kuliko wasanii viongozi wa sasa hv

    ReplyDelete

Top Post Ad