Breaking News: Mtangazi Gadner G Habash Arudi Clouds FM Radio Kutoka EFM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya watangazaji Gerald Hando na Paul James kusemekana wameondoka Clouds FM radio, Clouds imeamua kumrudisha nguli wa utangazaji Gadner G Habash .
Diva loveness Amepost picha mtangazaji huyo akisign mkataba na kuandika haya :
So wanted to post him toka Jana .. welcome back Captain G Habash !... I am The Happiest Girl on earth, You Made Me ... 👻 S/O to My Big Boss .. ❤ You did it , ️. yaan Captainnnnn .. G. Habassshh!. Umeona Banah ..
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Brother Gadner , Bora urudi Clouds FM Chama kubwa hilo , kule ulipokuwa walikuwa wanakuzeesha tu we check ulivyoisha sio Body lako hilo Gardner; thanks na hongera kwa maamuzi mazuri ; Big Up Brother:

    ReplyDelete
  2. Ndi ndi ndi siyo mchezo,comando Jay dee unamvuruga kaka wa watu umemuacha kakimbilia kwa wabaya wako.

    ReplyDelete
  3. Kashuswa kikomandoo Gardner atahama Redio zote chezea Mbibo weee,,,

    ReplyDelete
  4. ndi ndi ndi noma,g habash alikua akiisikia efm ikawa inamchoma kaona isije ikawa tabu ngoja niende ambako hawaipigi,ndi ndi ndi!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  5. ndi ndi ndi yaiponza efm kichwa cha habari magazeti ya leo,sorry majay.

    ReplyDelete

Top Post Ad