AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya watangazaji Gerald Hando na Paul James kusemekana wameondoka Clouds FM radio, Clouds imeamua kumrudisha nguli wa utangazaji Gadner G Habash .
Diva loveness Amepost picha mtangazaji huyo akisign mkataba na kuandika haya :
So wanted to post him toka Jana .. welcome back Captain G Habash !... I am The Happiest Girl on earth, You Made Me ... 👻 S/O to My Big Boss .. ❤ You did it , ️. yaan Captainnnnn .. G. Habassshh!. Umeona Banah ..
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Brother Gadner , Bora urudi Clouds FM Chama kubwa hilo , kule ulipokuwa walikuwa wanakuzeesha tu we check ulivyoisha sio Body lako hilo Gardner; thanks na hongera kwa maamuzi mazuri ; Big Up Brother:
ReplyDeleteNdi ndi ndi siyo mchezo,comando Jay dee unamvuruga kaka wa watu umemuacha kakimbilia kwa wabaya wako.
ReplyDeleteKashuswa kikomandoo Gardner atahama Redio zote chezea Mbibo weee,,,
ReplyDeletendi ndi ndi noma,g habash alikua akiisikia efm ikawa inamchoma kaona isije ikawa tabu ngoja niende ambako hawaipigi,ndi ndi ndi!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeletendi ndi ndi yaiponza efm kichwa cha habari magazeti ya leo,sorry majay.
ReplyDelete