AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza katika kipindi cha 360 cha Clouds TV Ijumaa hii, Dogo Janja amesema kuna wakati anajuta kabisa kutomaliza shule.
“Kusema kweli najuta kutomaliza shule,” alisema Dogo Janja. “Msanii lazima uwe pande mbili, huwezi kuwa msanii wakati wote, kuna wakati utahitaji kufanya mambo mengine,”
Dogo Janja amesema muziki ndio kitu ambacho kilimsabisha ashindwe kuzingatia masomo.
“Nilikuwa nikifungua radio au TV kote nazungumziwa, stress zikawa zinanichanganya nikawa sisomi, bila stress ningesoma na ningefaulu. Nampango wa kurudi shule za private, kwa sababu elimu ni kila kitu,” alisema Dogo Janja.
Pia Janjaro amewataka vijana walio mashuleni kuzingatia masomo yao kwa elimu ndio kila kitu katika maisha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK