AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wawili hao watakuwa wakitangaza kipindi cha Hard Drive kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa tatu.
“Wataelewa tuu @choicefmtz natanguliza shukrani kwa Mungu kisha tukutane saa 12 asubuhi mpaka saa 3 asubuhi. Ntawaamsha,” ameandika Idris.
Feza na Idris wamechukuliwa katika usajili mpya wa Clouds Media Group katika vituo vyake vya redio ambapo Clouds FM jana waliwatangaza rasmi Dj Sinyorita na Mami waliokuwa East Africa Radio kama wafanyakazi wao wapya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Na Kweli tutaelewa tu,maana unavyomung'unya maneno wakati wa mahojiano sikuambii kwenye kutangaza,NI SHIIIIIIIIIDA!
ReplyDelete