Mama Kanumba Akanusha Taarifa Kuwa Huwa Anatokewa na Marehemu Kanumba Ndotoni Usiku

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mama Kanumba Amekanusha Uvumi ulionea kwenye mitandao hasa Instagram kuwa huwa anatokewa na Marehemu Kanumba ndotoni...

Mama Kanumba Amesema Haya:

"Mimi sijawahi mwambia mtu kuhusu kumuota Kanumba na wala sijawahi muota wala kunitokea ndotoni, Mimi ni mkristo na nina Amini mtoto wangu alifariki na kristo hivyo hayo mambo mimi sijajui na napenda kusema kuwa sijawahi tokewa na Kanumba huo ni uzushi tu"
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad