Manny Pacquiao Astaafu Ndondi Baada ya Kumdunda Timothy Bradley

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bondia wa Ufilipino, Manny Pacquiao amethibitisha kustaafu masumbwi baada ya kumdunda Timothy Bradley kwenye pambano lao la Jumamosi hii.

Pacquiao alishinda kwa pointi licha ya kumwangusha Bladley mara mbili.


Hilo limekuwa pambano lake la kwanza baada ya kushindwa na Floyd Mayweather Jnr May mwaka jana.


“As of now I am retired,’ alisema Pacquiao. “I am going to go home and think about it but I want to be with my family. I want to serve the people.”


Pacquiao anastaafu akiwa ameingiza dola milioni 500 kutokana na ndondi pamoja na endorsements katika kipindi cha miongoni miwili ya career yake.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad