Mwigizaji Ray Atuhumiwa Uchawi, Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Staa wa filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameingia kwenye kashfa nzito baada ya kudaiwa kutumia ndumba kwenye sanaa ili kuwa juu ya wenzake, Risasi Mchanganyiko limetonywa.

Chanzo kutoka Bongo Muvi kilieleza madai kwamba msanii huyo mwenye jina kubwa, amekuwa ‘akiwachezea’ wenzake ili wasifanye vizuri kwenye soko la sanaa na sasa hivi ndiye anayeongoza kwa mauzo katika Kampuni ya Steps Entertainments baada ya Steven Kanumba kufariki dunia akifuatiwa kwa karibu sana na Stephen Jacob ‘JB’.

Inadaiwa kuwa moja ya viashiria vya ‘ulozi’ huo ni tukio la hivi karibuni lililotokea huko Kigamboni, ambapo tangazo lililowekwa ili kutangaza ujio wa filamu mpya ya JB, kupasuka muda mfupi tu baada ya kuwekwa.

“JB alienda kuweka bango la filamu yake ya Chungu cha Tatu maeneo ya Kigamboni lakini muda mfupi tu likapasuka katikati, lakini alipokuja kuweka Ray la kwake la Tajiri Mfupi lipo mpaka leo, hali imetutisha sana sisi wasanii,” kilisema chanzo hicho.

Chanzo:GPL
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad