Rais Magufuli Kwa Kupitia Clouds TV Ataja Mshahara Wake Anaolipwa Kwa Mwezi....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nyota ya Radio ya Clouds FM inaendelea kung'aaa Baada ya leo tena wakati watangazaji wa Clouds TV wakijadili habari za magazeti Rais Magufuli alipiga simu na kusema mshahara wake anaolipwa kwa Mwezi ..Hii imekuja baaada ya magazeti ya leo kuandika habari ya Zitto na Lissu Kudai rais ataje mshahara wake na akatwe kodi..

Rais amewaambia Clouds TV kuwa analipwa Shilingi Milioni 9.5 amesema akimaliza mapumziko yake huko Geita atakuja kutoa mchanganuo wake pamoja na marupurupu anayopata...
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wandugu wa Tanzania huyu Magufuli ni wa kufurahia sana kwenye nchi yenu,muna bahati kupata kiongozi mwema sijapata kuona hata rais wa nchi yenyewe niko hatujui malipo yake.

    ReplyDelete
  2. Mzee jk aliekutangulia alikuwa analipwa dola laki 3 kwa mwezi wewe unatapata hiyo naona mshahara wa raisi umeanguka ghafla ,aya bhana kama unaongea ukweli.

    ReplyDelete
  3. mmmh mbona ndogo. inabidi tukuongeze kwa kazi ngumu unayoifanya

    ReplyDelete
  4. Mheshimiwa raisi kaweka wazi mshahara wake ngoja tusubiri akirudi likizo atoe ufafanuzi.

    ReplyDelete
  5. Ni kweli kataja na huo ndio mshahara wake?au ndio siku ya wajinga tunaitumia sivyo?

    ReplyDelete
  6. kwakweli tumepata rais ambaye ni msikivu sana... kama ameshalisikia hili na kulijibu papo hapo!!! kweli tumshukuru Mungu kutupatia zawadi hii... Mungu akuongeze neema na baraka tele.. UDUMU RAISI JOHN MAGUFULI

    ReplyDelete
  7. Lisu na Zitto mmesikia mlichokitaka?Mmeelewa?
    Sasa inakuwaje kwamba kuna watu eti wanapata mshahara mil.40 wakati mkuu wa nchi anapata mil.9.5?Zitto/Lissu hebu tusaidieni,inakuja kweli?

    ReplyDelete

Top Post Ad