AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwenye kipindi cha Enews Shamsa Ford anasema wakati anaanza kutoka na Nay wa Mitego hakutambua ni mtu wa namna gani ndiyo maana aliweza kuanza naye mahusiano lakini kadili siku zilivyokuwa sikienda akagundua kuwa wana tofauti kubwa kwani tabia zao zilikuwa zikipishana sana.
Shamsa Ford alizidi kueleza kuwa awali alikuwa anaficha kama wanatoka kimapenzi na msanii huyo kutokana na ukweli kwamba kila mmoja alikuwa hana uhakika na mwenzake ndiyo maana walikuwa wanaitana "Cousin" ili hali wao ndiyo walikuwa wanajua ukweli kwamba ni wapenzi.
Mbali na hilo Shamsa Ford alisema baadaye aligundua kuwa akiwa ni mshikaji tu na Nay wa Mitego wanakuwa wanaelewana zaidi kuliko kuwa wapenzi ndiyo maana walifikia hatua kuachana na kuwa washikaji. Kwa sasa anasema amepata mpenzi mwingine ambaye ana sifa zaidi na wanapendana sana.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tushakuchoka we kima khaaa kila siku ney ney hv hata huyo mwanaume wako mpya hachoki kusikia story za mwanaume wako wa zaman kwan kila swali linalomuhusu lazima ujibu khaaaa bongo mavi bwana
ReplyDeleteYaaani kwani lazima kila siku umtaje uyo ney si uwakomeshe awo waandishi kama unampenda huyo ney si umwambie mnaudhi sana
ReplyDeletemalaya tuu huyu dada nae mtaishia kulea watoto wa baba tofauti na kufanywa kifaa cha kuzinia tuu
ReplyDelete