AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Bongo5 Ijumaa hii, Idris amesema kwa sasa hawezi tena kukaa mbele ya mwaandishi wa habari na kuzungumzia maisha yake ya mapenzi.
“Masuala ya mapenzi yangu sasa hivi sitaki kuyazungumzia kabisa, kwa sababu sasa hivi sitaki kiwe ndiyo kipaumbele changu, nina kazi nyingi sana naweza kuzifanya na focus yangu ipo kwenye vitu vikubwa na vya umuhimu. Kwa hiyo siyo kitu ambacho nitakuwa nakiongelea kivile,” alisema Idris.
Pia Idris aliizungumzia sababu ya kuamua kufanya hivyo na kama kuna matatizo yametokea kati yake na Wema Sepetu.
“Matatizo yalitokea, tukapatana na sasa tupo sawa, hakuna tatizo,” alisema Idris
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
yeye alikuwa hajui?tulishamwambia utoto unamsumbua akikua ataacha.
ReplyDeletekama uko bado uko huyo utalia tena!!!
ReplyDelete