Idriss Sultan Afurahia Kazi ya Utangazaji, Adai Biashara zake Alizowekeza Nazo zimeanza Kumlipa...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mshindi wa shindano la Big Brother Africa mwaka 2014 Idris Sultan amesema kwa sasa anafurahia sana kazi mpya ya utangazaji aliyopata katika kituo cha Radio cha Choice FM kilicho chini ya management moja na kile cha Clouds FM..
Idris Sultan pamoja na kufurahia kazi yake hiyo pia amesema kuwa sasa zile pesa zake alizowekeza kwenye biashara baada tu ya kushinda mtonyo wa Big Brother zimeanza kumlipa na si kweli kwamba amefulia kama watu walivyokuwa wanasema mitandaoni..
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad