Mama wa Msanii Tupac Ambaye pia ni Mwanaharakati Afeni Shakur Davis Amefariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mama mzazi wa legendary rapa Tupac Shakur amefariki dunia akiwa na miaka 69,Kifo cha Afeni Shakur kimethibitishwa May 3 na taarifa zilitolewa na Polisi wa Marin County mjini California.Ujumbe wa polisi unasema Mama yake Tupac amefariki usiku wa May 2.

KRON wameripoti kuwa alipatwa na mshtuko wa moyo nyumbani kwake San Francisco na kupelekwa hospitalini mida ya  9:45 p.m. nakutangazwa amefariki mida ya 10:30 p.m.

Afeni Shakur alikuwa kwenye harakati za mwisho za kuchukua talaka kutoka kwa mume wake wa miaka 12 Gust Davis.

mama 2 pac 1 mama 2 pac 2

Afeni Shakur kwenye ujana wake alikuwa anatumia dawa za kulevya aina ya Crack na alihusishwa na kundi la vijana la Black Panther.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad