AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapa Nicki Minaj amefikia wakati mgumu kwenye maisha yake kwenye kuchagua kuwasiliana na hasimu wa mpenzi wake ambaye ni Drake au kukata mawasiliano naye kabisa ili kumfurahisha Meek Mill ambaye ni boy friend wake.
Kwa mujibu wa Hollywood Life Nicki Minaj amemchagua Meek Mill na amekata mawasiliano kabisa na rapa Drake ambaye wapo pamoja kwenye lebel moja ya Young Money.
Wawili hawana mawasiliano toka June 2015 beef kati ya Meek na Drake lilipoanza. Pia mpaka sasa Minaj hajaonyesha kuwa anaikubali album ya Drake ya “Views From the 6.” hata kama kaisikiliza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK