AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pia Prof. Lipumba amesema hakuna sheria inayoruhusu Serikali au Bodi ya Sukari kupanga bei ya sukari nchini hivyo ametaka siasa kuacha kutumika katika mambo serious na wafanyabiasahara wasitishwe.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
MAGU KAZA BUTI HAKUNA MAFANIKIO BILA KUUMIA!!!!
ReplyDeletehuna cha kuongea kaa kimya
ReplyDeleteSiasa zingine za kipuuzi lipumbaaa haoni aibu kudanganya umma na habari hakuzisikia yamefichuliwa matani ya sukari kwenye magodown ya wahujumu uchumi kwani magufuli ndie aliye ficha sukari kwenye magodown yao
ReplyDeleteUnatakiwa at least uwe umefika high school ili kuweza kumuelewa pro @ majaliwa frederick lol
ReplyDeleteKilichokuwa kinatakiwa kwa serikali ni ku institute control ya uagizaji wa sukari kutoka nje na si kuzuia.
ReplyDeleteBila kuwa na control mechanism,hii cat & mouse game kati ya wafanyabiashara na serikali itaendelea. Kwani si siri kuwa wafanyabiashara hawa walikuwa wakipata faida kubwa kupitia mradi huu,na wengine walifikia hatua ya ku import expired / rejected products.
Tanzania imepata UHURU sasa,, Enzi zetu upungufu wa sukari tungejua mapema kwani mtandao nyeti ulikuwa unarekodi uwiyano na usambazaji wa bidhaa zote muhimu kama petrol,disiel,sukari nk toka ngazi ya Tarafa,,,mnaijua Tarafa??? Hakuna ambaye angeweza kuficha bidhaa kwani serikali iliziona zikiingia na kujua zinakokwenda au ziliko siyo leo ambapo idara nyeti imekuwa politiced,,,mhhhh POLENI sana ndugu zangu
ReplyDeleteWewe si plofesa..uko chuo gani vile?? Nataka nijalibu kumuelewa KINAGA ubaga..OMG
ReplyDeleteHuyu nae akajambe mbeleee kule
ReplyDelete