AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
hajui jinsi gani umepata fedha hadi kuunga unga na kutoa filamu bila ya huruma mtu anakudhulumu mimi kazi yangu Kajala hadi leo nimetapeliwa na mtu aliyeuza kwa Steps amenilipa pesa kidogo na filamu imetoka ina muda sasa,”
Msanii huyu amelalamikia mfanyabiashara maarufu kwa filamu za zaga zaga jina tunalihifadhi kuwa alichukua kazi yake kwa makubaliano kuwa anajuana na msambazaji haiwezi kukaa foleni hivyo angepata malipo yake kwa wakati lakini ameambulia kupewa fedha kidogo huku mtu huyo hapokei simu na kumtishia kuwa yeye anajulikana.
Aidha Riyama amedai kuwa Serikali na vyama vya wasanii viangalie jinsi ya kulinda maslahi ya wasanii wanaibiwa sana,kwani kumekuwa na tabia ya udalali wa filamu kwenda kwa wasambazaji ambao kazi ucheleweshaji ambao unajenga mazingira ya Rushwa.
“Nimekuwa na busara sana kwani nashangaa yeye kulipwa fedha huku filamu ikiwa kila kitu kimeandikwa mimi Riyama Ally ilikuwaje alipwe yeye bila mimi kuwepo?,”anasema Riyama Ally.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
ungemtaja hapa huyo mtu ili iwe fundisho kwa hao watu wanaowadhulumu watu, na nyie wasanii hakikisheni mnalipwa hela inayostahili kabla ya kutoa kazi zenu, msikubali kulipwa kidogo kidogo
ReplyDeleteFilamu hailipi tanzania fanya kazi nyingine za zaida
ReplyDeletewatanzania wengi hawana pesa ya kula leo wanunue movie original sh 5000 wakati mitaani inauzwa 2000
fikiria dada yangu hakuna apendaye ghali