AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Alikiba anatarajia kuachia wimbo wake mpya alioupa jina ‘Aje.’
Hajasema wimbo huo utatoka lini lakini dalili zinaonesha kuwa unaweza ukaachiwa mwezi huu.
Huo unakuwa wimbo wake mpya mwenyewe tangu aachie Lupela. Kwa sasa Kiba anafanya vizuri na wimbo aliofanya na Sauti Sol, Unconditionally Bae.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
that's King Kiba hivo ndio tunataka keep it up as I said before wewe ni wewe sauti umejaaliawa hakuna anaefikia sauti yako Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ufikie ununapotaka keep it in your mind you are the best
ReplyDelete