Ted Cruz ajitoa mbio za urais Marekani..Donald Trump Azidi Kupeta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muwania urais wa Marekani Ted Cruz ametangaza kuachana na kampeni za urais kwa tiketi ya chama cha Republican, baada ya kushindwa vibaya na Donald Trump katika kura za Indiana.

Bw. Trump ambaye ni mfanyabiashara wa Jijini New York, ambaye si maarufu kwa wengi kwenye chama chake, sasa ni kama amejihakikishia kuteuliwa kuwania urais wa Marekani.

Mapema Bw. Cruz alimuiita Bw. Trump kuwa ni mtu muongo ambaye hastahili kuwa rais wa Marekani.

Katika mbio za kuwani urais kwa chama cha Democratic, Bw. Bernie Sanders anatarajiwa kumshinda Bi. Hillary Clinton, Indiana.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad