Ushauri kwa Mr Hashim Lundenga, Jitoe Miss Tanzania. Huaminiki tena

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nimeona kwenye habari hashim lundenga anaomba serikali imsaidie kutafuta wafadhili wa Miss Tanzania..

Kama yupo humu au jamaa yeyote aliyopo humu amfikishie huu ushauri.

Ni vizuri akakaa pembeni ya Miss Tanzania maana hakuna kampuni yeyote yenye akili itakayotoa pesa zake kwa Miss Tanzania ya lundenga...

Seke seke la Siti mtemvu ni kubwa sana limemvunjia sana trust... na kurudisha trust sio kazi ndogo.

Hata kama Lundenga anategemea shughuli za Miss Tanzania kupata hela yake ya kuishi... ni vizuri akatumia.mbinu za yeye kukaa pembeni na kuweka sura nyingine kama mwandaaji kwa ajili ya kupata trust ya mashabiki na wadhamini...

Ila yeye kama yeye mzee lundenga na skendo ya Siti Mtemvu hawezi fanikiwa tena kama enzi zile za zamani
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad