Vodacom South Africa yaamriwa imlipe mfanyakazi aliyebuni huduma ya ‘Tafadhali Nipigie’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nkosana Makate ndiye aliyebuni huduma ya Please Call Me
Mahakama nchini Afrika Kusini jana iliiagiza kampuni ya Vodacom kumlipa fidia mfanyakazi wa zamani wa kampuni hiyo aliyebuni mfumo wa messaga za bure, baada ya kesi hiyo kudumu kwa miaka minane.

Hukumu hiyo imeipa kampuni hiyo kubwa nchini Afrika Kusini siku 30 za kuanza majadiliano ya jinsi ya kujua kiasi gani cha kumlipa Nkosana Makate.

Makate aliwasiliana na Philip Geissler, aliyekuwa mkurugenzi wa zamani wa maendeleo ya bidhaa na utawala wa kampuni hiyo kuhusu wazo lake la huduma ya “Please Call Me.”

Geissler alikubali kwa mdomo kuijaribu huduma hiyo, zinasema nyaraka za mahakama. Makate aliambiwa na kampuni hiyo kwamba atalipwa share yake kutoka kwenye mapato yatakayotokana na huduma hiyo lakini haikufanyika hivyo.

Baada ya kushindwa kulipwa fidia yake miaka minne baada ya huduma hiyo kuanzishwa, Makate alifungua kesi mahakamani ambayo sasa ameshinda.

“It’s just a relief for me you know, eight years in trial. I’m just happy we are now at the end of this journey,” Makate alisema kwenye mahojiano na kituo cha runinga cha serikali, SABC.

“I never really lost faith that I’ll win this case, I think that really kept me going even in times when I lost hope or felt a bit despondent,” aliongeza.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad